Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa kaunti ya Trans Nzoia wamekamatwa na maafisa wa polisi waliokuwa wamevalia sare baada ya kusikiza kesi inayomkabili gavana wa kaunti...
Wanafunzi wa Gredi ya 9 watajiunga na shule za sekondari mwaka ujao kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa kuwasajili wanafunzi maarufu kama KEMIS. Kulingana na...
Baadhi ya viongozi wa kisiasa wamemtaka Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kujiuzulu kwa madai kwamba ameshindwa kuimarisha usalama katika maeneo mbalimbali ya taifa. Wakiongozwa...
Idara ya Usalama nchini imelaumiwa kwa kushindwa kuzihamisha huduma zake hadi katika mfumo wa kidijitali hali ambayo imerudisha nyuma juhudi za kutafuta usaidizi wa kiusalama. Kulingana...
Mvutano wa kisiasa umeanza kushuhudiwa ndani ya Chama tawala cha UDA baada ya baadhi ya viongozi wa chama hicho kutofautiana kisiasa huku wengine wakilalamikia kudharauliwa. Mwenyekiti...
Mahakama ya Kisutu nchini Tanzania imeahirisha kesi ya jinai inayomkabili Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu hadi Juni 16, 2025. Mahakama imeagiza Lissu kuendelea kuzuiliwa...
Mgombea wadhifa wa urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2027 Robert Watene amesema mfumo wa mtaala wa elimu nchini CBC utawafaidi wakenya iwapo utaangazia changamoto...
Mgombea wadhifa wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 Robert Watene anasema taifa litanawiri zaidi na kuendelea iwapo wananchi watahakikishiwa usalama wa chakula. Watene alisema...
Wataalamu wa sekta ya uchumi wa samawati na maswala ya bahari hapa nchini wamesistiza haja ya serikali kuweka mazingira bora ya kubuni nafasi zaidi ya ajira...
Rais William Ruto amewaongoza wakenya katika kuadhimisha sherehe za Madaraka za 62 tangu taifa lijipatie uhuru. Katika maadhimisho hayo ambayo yamefanyika katika uwanja wa Raila Odinga...