Mwanasiasa na Mfanyibiashara Lung’anzi Chai amelalamikia huduma duni mashinani zinazotolewa na viongozi walio mamlakani kaunti ya Kwale, akisema wakaazi wengi wamekuwa wakihangaika kwa kukosa huduma bora....
Serikali ya kitaifa imezindua mpango wa msaada wa shilingi milioni 60 kwa wakazi wa Tana River walioathiriwa na mafuriko ya kudumu. Mpango huo ulizinduliwa na katibu...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen ametoa taarifa kuhusu hatua ambazo zimepigwa na wizara hiyo katika kuimarisha usalama. Akizungumza katika jumba la Harambee jijini Nairobi,...
Familia ya Mwanamme aliyezama baharini katika kaunti ya Kilifi siku kadhaa zilizopita, inahimiza serikali kuongeza juhudi na kuwapa msaada wa kumtafuta jamaa wao. Ikiongozwa na Omar...
Gavana wa kaunti ya Mombasa, Abdulswamad Shariff Nassir amesema serikali ya kaunti ya Mombasa wametenga shilingi milioni 80 kugharamia sehemu ya matibabu ya wakaazi ambao hutibiwa...
Naibu gavana kaunti ya Kilifi Flora Mbetsa Chibule, amependekeza adhabu kali kwa watu wanaotekeleza visa vya dhulma za kijinsia katika jamii. Chibule alisema visa vya dhulma...
Maafisa wa idara inayoshughulikia maslahi ya watoto kaunti ya Kilifi wameshinikiza serikali kuu na zile za kaunti kuweka mikakati dhabiti ili kukabili suala la ajira za...
Kaimu Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa matibabu nchini, KEMRI, Prof. Elijah Songok amesema huenda maelfu ya wananchi wanaofanya kazi kwenye taasisi hiyo kote nchini wakakosa...
Shehena ya dozi milioni 3.2 za chanjo ya ugonjwa wa polio na dozi milioni 3 za chanjo ya BCG inayotumiwa kuzuia ugonjwa wa kifua kikuu zimewasili...
Mahakama ya Shanzu, Kaunti ya Mombasa, imemuachilia kwa dhamana ya shilingi laki mbili au pesa taslimu ya shilingi laki moja msaidizi wa kibinafsi wa Mbunge wa...