Baadhi ya mawakili nchini wanataka chama cha mawakili nchini LSK kuwaondoa kwenye orodha ya mawakili, naibu rais Prof Kithure Kindiki na waziri wa usalama wa ndani...
Kulikuwa na kizaazaa Julai mosi 2025 katika kijiji cha Mabirikani eneo la Eureka Mitangoni karibu na Mavueni kaunti ya Kilifi baada ya mwanamume anayedaiwa katumia nguvu...
Siku kumi baada ya mwanablogu Ndiang’ui Kinyagia kutoweka, kesi ya kumtaka inspecta jenerali wa polisi Doglas Kanja kueleza alipo mwanablogu huyo iliendelea kusikilizwa katika mahakama ya...
Wabunge wanaharakisha mchakato wakutunga sheria inayolenga kuwakinga wao wenyewe na taasisi nyingine za serikali dhidi ya athari za maandamano ya umma siku zijazo. Katika mapendekezo ya...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesisitiza ushirikiano kati ya ufaransa na Kenya katika kutetea ajenda ya kimataifa inayojumuisha maendeleo endelevu na hatua za kukabili mabadiliko ya...
Mahakama ya Upeo imesitisha ujenzi wa kituo cha pili cha kushughulikia nafaka katika bandari ya Mombasa baada ya kutangaza zabuni iliyotolewa na Mamlaka ya bandari nchini...
Bunge la kaunti ya kaunti ya Kilifi limepiga kura na kumtimua mamlakani Spika Teddy Mwambire. Hii ni baada ya wawakilishi wadi 40 kati ya 51 kupiga...
Idadi ya wachuuzi wa njugu mjini Kilifi kaunti ya Kilifi imetajwa kuongezeka msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na Kazungu Kaingu, vijana wengi punde wanapomaliza...
Wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu kwenye maonyesho ya kilimo yatakayofanyika mwezi wa september mwaka 2025 katika uwanja wa maonyesho ya kilimo...
Viongozi wa dini ukanda wa wamemkosoa naibu rais profesa Kithure Kindiki kuhusiana na kauli yake kwamba baadhi ya viongozi wa dini na wanadiplomasia walihusika katika kuunga...