Mahakama mjini Malindi kaunti ya Kilifi iliwaamuru washukiwa 11 waliokamatwa katika kijiji cha Kwa Binzaro kilomita sita kutoka eneo la Shakahola kuzuiliwa rumande kwa mda wa...
Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kyalo Kaloki amewapongeza wenyeji kwa juhudi ambazo wamekuwa wakiweka kudhibiti mauaji ya wazee kwa tuhuma za uchawi. Kaloki...
Mbunge wa Kaloleni kaunti ya Kilifi Paul Katana ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kujiepusha na siasa ambazo huenda zikasababisha chuki miongoni mwa wenyeji. Akizungumza katika...
Shughuli za kibiashara katika soko la Tezo kaunti ya kilifi ziliathirika jumatatu ya Julai, 21, 2025 kufuatia mgomo wa wahudumu wa tuktuk. Kulingana na wafanyibiashara katika soko...
Wadau wa sekta ya utalii wadi ya Watamu kaunti ya Kilifi wameripoti kuimarika kwa sekta ya utalii eneo hilo mwaka wa 2025 ikilinganishwa na mwaka uliopita...
Catherine Kenga amechaguliwa kuwa spika wa bunge la kaunti ya Kilifi katika kikao maalum ambacho kiliandaliwa katika bunge hilo Jumatu Julai 21 2025. Katika kikao hicho...
Mwakilishi wadi wa Sokoke kaunti ya Kilifi Thaura Mweni ametaja zoezi la kumchagua spika mpya wa bunge la kaunti ya Kilifi linalofanyika hii leo kama litakaloendeshwa...
Bunge la kaunti ya Kilifi linatarajiwa kumchagua spika mpya Julai 21,2025. Hii ni baada ya Teddy Mwambire kubanduliwa uongozi na wawakilishi wadi Juni 30 2025 kupitia...
Mwanaharakati Boniface Mwangi anatarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu 21 Julai, 2025 kujibu mashtaka ya kufanikisha ugaidi. Maafisa wa upelelezi wa jinai walisema kuwa Mwangi alipatikana na risasi...
Rais William Ruto amewashauri wazazi kote nchini kuhakikisha wanawalekuza vijana wao katika mazingira ya maadili na uwajibikaji na wala sio kuwasukuma katika maisha ya kuhangaika. Rais...