Ofisi ya Vatican imetangaza kwamba Baraza la Makadinali wa Kanisa Katoliki linalofahamika kama ”Conclave” litaanza kikao chake cha siri cha kumchagua Papa mpya kuanzia tarehe 7...
Serikali inalenga kuajiri zaidi ya vijana laki moja katika Shirika la huduma kwa vijana wa taifa NYS. Waziri wa utumishi wa umma nchini Geoffrey Ruku amesema...
Mdhibiti wa bajeti nchin Margaret Nyakang’o amependekeza kuongezwa kwa kiwango cha bajeti ya ofisi yake kutoka shilingi milioni 7.2 hadi shilingi bilioni 1.6 ili kufanikisha majukumu...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amefanya kikao cha mazungumzo na waekezaji kutoka Kampuni ya Gach Group kuhusu uekezaji wa madini katika eneo la Magarini...
Shirika la Afya la AMREF kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Kilifi wawekeza zaidi katika sekta ya afya ili kukabiliana na magonjwa yaliyosaulika. Shirika hilo...
Wakaazi wa maeneo ya Matano Mane katika wadi ya Sokoke kaunti ya Kilifi wameandamana na kufunga barabara ya kutoka Chuo cha ufundi cha Godoma inayopitia shule...
Maafisa wa usalama kaunti ya Kilifi wanamzuilia mchungaji tata Abel Kahindi Gandi wa kanisa la New Foundation lililoko Chakama eneo bunge la Magarini kuhusiana na vifo...
Ni afuani kwa zaidi ya wafanyikazi 1,300 wakiwemo Wanahabari kutoka Kenya wa kituo cha habari za kimataifa cha Sauti ya Amerika VOA baada ya Mahahama kubatilisha...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos ametangaza kwamba Somo la Hisabati litakuwa la lazima katika shule za upili na kubatilisha tamko la awali la serikali la...
Maafisa wa Idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI wanachunguza kisa kimoja ambapo afisa wa polisi katika kitengo cha msafara wa rais ameanguka na kufariki alipokuwa...