MAHAKAMANI- Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 13 gerezani mwanamume wa umri wa makamu baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi mtoto wa umri wa...
Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Nairobi limetangaza kwamba John Kadinali Njue, hatashiriki Kongamano la kumchagua Papa mpya wa Kanisa Katoliki duniani. Katika taarifa rasmi iliyotolewa na...
Mwanamume mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Kilifi kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanamke kwa kisingizio cha uchawi. Mahakama imearifiwa kwamba mnamo tarehe 6 mwezi Disemba...
Seneta wa kaunti ya Siaya, Oburu Oginga amejitokeza na kutetea ushirikiano wa utendakazi kati ya Rais William Ruto na Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga,...
Wizara ya Kawi nchini imefanya kikao cha mazungumzo na uongozi wa kaunti ya Kilifi, pamoja na wabunge na Wasimamizi wa Shirika la NUPEA kuhusu uekezaji wa...
Wakaazi katika kijii cha Nyari eneo la Sokoke gatuzi dogo la Ganze kaunti ya Kilifi, wanakosoa mpango wa mwekezaji mmoja anayetaka kuchimba madini sehemu hiyo, wakidai...
Waziri wa usalama ndani Kipchumba Murkomen ameamrisha machifu ambao wanahofia maisha yao kutoka kaunti tano ambazo zinashuhudia msukosuko wa kiusalama kupewa bunduki kujihami. Waziri Murkomen amesema...
Kamati ya utekelezaji wa sheria katika bunge la Seneti imefanya kikao na Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro kutathmini jinsi serikali ya kaunti hiyo inavyoendana...
Kadinali Giovanni Angela Bacciu ametangaza kujiondoa katika kikao cha siri cha kumchagua Papa mpya kilichopangwa na Ofisi ya Vatican kuanza rasmi mwezi Mei 7. Katika taarifa...
Aliyekuwa mbunge wa Kisauni Ali Mbogo ameikosoa serikali ya kaunti ya Mombasa kwa kushindwa kutatua suala tata la uskwota linalowakumba wakaazi wengi wa kaunti hiyo. Akizungumza...