Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya ugonjwa wa Selimundu maarufu Sickle cell Aenemia, ukosefu wa hamasa za kutosha miongoni mwa jamii umetajwa kuchangia ongezeko la kusambaa kwa...
Viongozi wa kijamii katika eneo la Jaribuni kaunti ya Kilifi wamekashifu vikali hatua ya kufunguliwa kwa barabaraza kuelekea katika timbo za mawe katika eneo la Jaribuni...
Waziri wa afya, Aden Duale, amesema serikali imeweka mikakati dhabiti kuhakikisha kila mkenya anapata huduma bora za afya kupitia mpango wa bima ya afya kwa wote...
Serikali ya kaunti ya Kilifi kupitia idara ya kilimo imeanzisha mpango wa kusambaza wa Ng’ombe wa maziwa kwa makundi ya wakulima wa mifugo kaunti hiyo. Akizungumza...
Huduma ya kitaifa ya polisi NPS imewasimamisha kazi maafisa wawili wa polisi wanaohusishwa na kisa cha kupigwa risasi raia ambaye hakuwa na silaha wakati maandamano ya...
Naibu Inspekta jenerali wa Polisi Eluid Lagat, anatarajiwa kufika mbele ya Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi nchini IPOA kuhojiwa siku ya Alhamis Juni,...
Familia ya Boniface Mwangi Kariuki, mchuuzi mwenye umri wa miaka 22 aliyepigwa risasi kichwani na afisa wa polisi wa kupambana na ghasia katika barabara ya Moi...
Mkurugenzi wa Shirika la Centre for Justice, Governance & Environmental Action, Phyllis Omido alisema nishati ya Nyuklia inayopania kuwekezwa katika eneo la Uyombo wadi ya Matsangoni...
Mhubiri mwenye utata Gilbert Deya ameaga dunia baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabarani katika eneo la Namba-Kapiyo kwenye barabara ya Bondo-Kisian maeneo ya Nyanza ajali...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos Ogamba, alisema serikali imeanzisha mipango ya kuimarisha idara ya ukaguzi wa shule ili kuhakikisha fedha zinazotengewa taasisi za elimu zinatumika...