Mkurugenzi mkuu wa Shirika la kutetezi haki za kibinadamu la International Justice Mission, IJM, Vincent Chahale ameishutumu serikali kwa kuzembea katika kukabiliana na dhulma dhidi ya...
Kanisa Katoliki nchini limeshinikiza serikali na vijana kuridhiana ili kuepuka vurugu zaidi zinazoshuhudiwa nchini. Askofu mkuu wa kanisa katoliki Athony Muheria wa Nyeri na Phillip Anyolo...
Seneta wa kaunti ya Kilifi Stewart Madzayo amemtaka inspekta jenerali wa polisi nchini Douglas Kanja kuhakikisha maandamano ya vijana wa rika la Gen z tarehe 25...
Waziri wa madini na masuala ya bahari nchini Hassan Ali Joho, alidokeza kwamba katika siku zijazo eneo la Pwani litatoa rais wa taifa la Kenya. Waziri...
Waziri wa madini na uchumi wa bahari nchini Ali Hassan Joho alisema serikali haitaruhusu tena wakaazi kufurushwa katika ardhi wanayoishi. Akizungumza katika maeneo ya Mzambarauni mjini...
Marekani imerusha mabomu kwenye maeneo ya Vinu vya Nyuklia vya Iran yanavyojumuisha Fordo na kuharibu kabisa maeneo hayo hatua ambayo huenda ikachangia vita zaidi ya kimataifa....
Naibu Inspekta jenerali wa polisi Eliud Lagat aliandikisha taarifa kwa maafisa wa uchunguzi wa Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi nchini IPOA. Lagat, aliandikisha...
Rais William Ruto amesema kuwa atahakikisha miradi ya maendeleo aliyoahidi inakamilika kabla ya muhula wake wa kwanza kukamilika. Rais akizungumza baada ya kikao cha baraza la...
Wizara ya afya kaunti ya Kilifi imefichua kwamba maradhi ya Selimundu ni miongoni mwa maradhi ambayo yanaathiri idadi kubwa zaidi ya wakaazi kaunti hiyo. Akiongea kwa...
Bunge la kitaifa limepitisha mswada wa fedha wa mwaka wa 2025 ambao utaipa nafasi serikali ya Kenya kwanza kutekeleza majukumu yake kwa kuambatana na sheria. Bunge...