Serikali ya Misri imepanga kuanzisha kituo cha mwaswala ya maji na usafirishaji baharini jijini Mombasa kama sehemu ya ushirikiano katika ya kenya na Misri. Tangazo hilo...
Bunge la kaunti ya Isiolo limembandua Mamlakani Gavana wa kaunti hiyo Abdi Ibrahim Guyo. Hii ni baada ya Wawakilishi wadi 16 kati ya 18 katika bunge...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos Ogamba amewataka walimu wakuu wa shule za upili kuwapa wanafunzi vyeti vyao vya masomo. Ogamba vile vile aliwapongeza baadhi ya...
Maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya kunaswa na umema kwenye kituo cha polisi cha Ainamoi eneo bunge la Ainamoi kaunti ya Kericho wakati walipokuwa wakijaribu...
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu nchini KNCHR imesema watu 8 wamethibitishwa kuaga dunia wakati wa maandamano yaliofanyika katika maeneo mbalimbali nchini. Tume hiyo...
Rais William Ruto ameidhinisha Mswada wa Fedha wa 2025. Ruto alitia saini mswada huo kuwa sheria asubuhi ya alhamisi tarehe 26 juni 2025 katika ikulu ya...
Mwenyekiti wa kitaifa wa Taireni Association of Mijikenda, Peter Ponda Kadzeha amepinga madai kwamba wakaazi kuhusishwa katika miradi ya maendeleo katika eneo la Moi kadi ya...
Mwenyekiti wa Shirika la Malindi District Cultural Association, MADCA Stanley Kahindi Kiraga amesema misitu ya Kaya iko katika hatari ya kuangamizwa licha ya kuwa misitu hiyo...
Rais William Ruto amesema wanaendeleza mikakati thabiti katika kuhakikisha kuna miradi mingi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kaunti ya Kilifi na kanda ya Pwani kwa jumla. Rais...
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Taita Taveta sasa wanashinikiza wakaazi wa kaunti hiyo kuunga mkono serikali ya Kenya Kwanza wakisema inaendeleza mikakati kuhakikisha...