Viongozi wa dini ukanda wa wamemkosoa naibu rais profesa Kithure Kindiki kuhusiana na kauli yake kwamba baadhi ya viongozi wa dini na wanadiplomasia walihusika katika kuunga...
Mkuu wa utumishi wa umma nchini Felix Koskei, ameagiza mashirika yote ya serikali kuanza kutoa huduma za ununuzi kupitia mfumo wa kielektroniki wa serikali almaarufu e-GP...
Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amemshauri rais William Ruto kuondoka madarakani pamoja na serikali yake ili kupisha mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kitaifa. Kalonzo...
Wabunge wanaoegemea chama chake aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua DCP wametangaza mipango ya kuwasilishwa hoja bungeni ya kutaka kutimuliwa madarakani kwa waziri wa usalama wa kitaifa...
Huduma za matibabu katika hospitali za umma kaunti ya Kwale zinatarajiwa kutatizika kuanzia juni 30, 2025 wakati madaktari watakapoanza mgomo wao rasmi. Hii ni baada ya...
Wanajeshi nchini sasa watalazimika kujigharamia chakula chao cha mchana kuanzia Julai mosi mwezi ujao. Hii ni baada ya serikali ya Rais William Ruto kusisitiza kuwa itafutilia...
Rais William Ruto anatarajiwa kuondoka humu nchini na kuelekea nchini Uhispania na Uingereza kwa ziara ya kiserikali. Kulingana na taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Rais na...
Rais William Samoei Ruto amempandisha cheo Meja Jenerali David Kipkemboi Ketter hadi cheo cha Luteni Jenerali na kumteuwa kuwa Kamanda mpya wa Jeshi la nchi Kavu....
Ripoti ya mkaguzi wa bajeti nchini imebaini kwamba kaunti ya Kilifi haijatumia mgao wa bajeti ya shilingi milioni 220 uliotengewa mpango wa kushughulikia athari za mabadiliko...
Jumla ya vijana 600 kutoka eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi watanufaika na mpango wa mafunzo ya taaluma za ujuzi, maarufu SKILLS MTAANI unaofadhiliwa na...