Seneta wa kaunti ya Kilifi, Stewart Madzayo amegadhabishwa na kile alichokiita utepetevu katika serikali kuu kufuatia malimbikizi ya miili inayofukuliwa Shakahola inayohifadhiwa kwenye makafani ya hospitali...
Wahudumu wa sekta ya uchukuzi wa Tuktuk katika wadi ya Mariakani eneo la bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanaendelea kulalamikia gharama ya juu ya bei...
Kongamano la siku tatu kuhusu wiki ya upishi kutumia kawi safi limezinduliwa rasmi mjini Kilifi katika kaunti ya Kilifi huku serikali kuu ikimesema inaendelea kujumuisha kila...
Kenya inaadhimisha miaka 15 ya Katiba mpya tangu kubuniwa rasmi mwaka wa 2010 chini ya utawala wa Hayati Mwai Kibaki kufuatia shinikizo la miaka mingi ya...
Zaidi ya Wawakilishi wadi 70 wa kaunti ya Nairobi walitia saini hoja ya kutokuwa na Imani na Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja, ambayo inalenga...
Mwakilishi wadi ya Malindi mjini Rashid Odhiambo amekiri kuwepo kwa mvurugiko mkubwa ndani ya chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi. Akizungumza katika kipindi cha Coco...
Viongozi wa kijamii katika kaunti ya Kilifi wameeleza kuwa watoto wengi wanakosa kupata chanjo kufuatia dhana potovu zinazoenezwa miongoni mwa wanajamii. Wakiongozwa na Mumina Halaso, viongozi...
Uchaguzi wa viongozi wa mashinani wa Chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi ulifanyika Agosti 25, 2025 licha ya awali kuhushudiwa vurugu baada ya kutofautiana kwa...
Serikali imetangaza kwamba Fedha za usimamizi wa shughuli za masomo katika shule za umma kote nchini zitasambazwa kabla ya wiki hii kukamilika ili kuwawezesha wanafunzi kuendelea...
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Mombasa wakiongozwa na mbunge wa Changamwe Omar Mwinyi wamewakosa wananchi pamoja na viongozi dhidi ya kuendeleza siasa za migawanyiko, taifa...