Timu ya taifa la Sudan iliingia kwenye Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ikiwa haikutarajiwa kabisa kufika mbali kwani ligi yake ya nyumbani karibu haipo katika...
Ubabe wa mpira wa miguu kati ya Kenya na Tanzania inatarajiwa kuchukua mwelekeo mpya mwezi ujao wakati mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania, Yanga SC, watakapowaalika...
Mwanariadha wa kasi zaidi barani Afrika, Mkenya Ferdinand Omanyala, amethibitisha kwamba hatashiriki kwenye Fainali ya Diamond League ya 2025 kutokana na changamoto za majeraha. Nyota huyo...
Timu ya taifa ya wanawake ya voliboli ya Kenya, Malkia Strikers, imeondolewa kwenye mbio za ubingwa wa dunia wa FIVB baada ya kupoteza kwa ushindani kwa...
Kilabu ya Arsenal yapata pigo, hii ni baada ya winga Bukayo Saka kutarajiwa kukosa mechi ya Arsenal dhidi ya Liverpool Jumapili pamoja na mechi za kufuzu...
Mabingwa watetezi mchezo wa Tenesi Jannik Sinner na Aryna Sabalenka wako katika harakati za kutafuta ushindi wa mara ya pili mfululizo kwenye US Open, Grand Slam...
Kilabu ya Strathmore Leos mchezo wa raga waliwapiga viongozi wa misururu wa raga nchini kilabu ya KCB kwa alama 31-21 katika fainali kali ya Embu 7s...
Kocha wa timu ya taifa ya mpira wa voliboli ya akina dada, Malkia Strikers, Geoffrey Omondi, ana matumaini makubwa kuelekea mechi yao ya pili ya Kundi...
Kilabu ya Manchester United bado hawajapata ushindi wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Fulham Jumapili, huku kilabu ya Everton ikiongozwa...
Shirikisho la soka nchini FKF tawi la Mombasa limemsimamisha kwamda kocha wa vijana M’barak Swaleh katika shughuli zote za soka kufuatia madai unajisi yanayomuandama. Swaleh anatuhumiwa...