Nyota wa mchezo wa Tenesi Ulimwenguni Novak Djokovic raia wa Serbia anaingia leo ulingoni kusaka taji la 25 la Wimbledon. Hata hivyo mchezaji huyo anatarajiwa upinzani...
Waziri wa Michezo Salim Mvurya ameweza kukabidhi rasmi uwanja wa Kasarani kwa kamati andalizi ya mashindano ya CHAN ikiwa inashiriria kwamba uwanja huo uko tayari kwa...
Mkufunzi wa Shule Ya Upili ya Jaribuni Hassan Pande amesema kwmaba iwapo watabanduliwa kwenye hatua ya makundi mashindano ya Shule za Upili ukanda wa Pwani Mpeketoni...
Kilabu ya Nairobi United ndiyo mabingwa wa kombe la FKF Cup baada ya kunyuka Gor Mahia magoli 2-1 uwanjani Ulinzi Sports Complex hapo jana. Kiungo Frank...
Sasa ni rasmi kwamba aliyekua mshmabulizi wa AFC Leopards na Young Africans ya Tanzania Bonface Ambani ndiye mwenyekiti mpya wa kilabu ya Afc Leopards Uchaguzi uliofanyika...
Kilabu ya Leicester City imetangaza kuachana na kocha wake Ruud Van Nistelrooy mchezaji wa zamani wa manchester united. Kocha huyo aliteuliwa mwezi Disemba kumrithi kocha Steve...
Kilabu ya Wanabenki Kcb inayoshiriki ligi kuu taifa humu nchini imetangaza kumteua aliyekua kocha wa Tusker FC,Sofapaka na AFC Leopards Robert Matano marufu The Lion kunoa...
Mkufunzi wa Timu ya Taifa Brazil Carlo Ancelloti amemwambia mshambulizi wa kilabu hiyo Neymar ajiendae kwa kombe la dunia mwaka 2026 Kocha huyo aliyasema hayo muda...
Madereva nguli ulimwneguni Sebastian Ogier wa Ufaransa na Ott Tanak wa Estonia walimaliza kwa muda sawa katika raundi ya kwanza ya mbio za Magari za Acropolis...
Kilabu ya Manchester City imejiunga na mibabe katika raundi ya 16 bora kombe la Dunia baina ya Vilabu nchini Marekani. Hii ni baada ya vijana wa...