Timu ya taifa ya soka Harambee Stars ipo hatua moja tu kuingia kwenye robo fainali ya michuano ya CHAN inayoendelea nchini Kenya, Uganda na Tanzania. Hii...
Klabu ya Chelsea imeafikia makubaliano ya maslahi binafsi ya kumsajili winga Alejandro Garnacho kutoka Manchester United huku nyota huyo mwenye umri wa miaka 21 akitamani kujiunga...
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya vilabu bora Afrika kwa viwango vya CAF ambapo Klabu ya Simba Sc ya Tanzania imeendelea kusalia kwenye 10...
Mkufunzi wa timu ya soka Harambee Stars ya Benni Mccarthy amesema kwamba mechi ya jana kati ya vijana wake na Angola ulikua ni mechi mgumu zaidi...
Timu ya taifa ya soka, Harambee Stars, itashuka dimbani jioni ya leo kuwania alama tatu muhimu dhidi ya Angola, katika mechi yao ya pili ya mashindano...
Timu ya taifa Stars ya Tanzania imeweka guu moja kuingia kwenye hatua ya robo fainali taji la CHAN. Hii ni baada ya ushindi wa pili mfululizo...
Klabu ya Manchester United imewasilisha rasmi ofa kwa klabu ya RB Leipzig kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji Benjamin Šeško. Ofa hiyo inakadiriwa kufikia jumla ya Euro...
Timu ya taifa ya Uganda Cranes yaanza vibaya kipute cha CHAN baada ya kutiwa darasani, kabila ya kuchabangwa magoli 3-0 na The Desert foxes mechi ya...
Mwanzilishi wa kombe la Legends Cup na kocha wa mchezo wa Taekwondo, Onesmas Safari Ngao, amesema kuwa lengo lake kuu ni kuinua viwango vya mchezo huo...
Manchester United imetwaa ubingwa wa kombe la ‘Premier League Summer Series’ kufuatia sare ya 2-2 dhidi ya Everton katika dimba la Mercedes-Benz, Atlanta, Georgia Marekani. Michuano...