Mshindi wa medali ya shaba ya mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki na bingwa wa dunia wa mwaka 2022, Fred Kerley, ambaye Jumanne alisimamishwa...
Kikosi cha voliboli kwa chipukizi Junior Strikers kimerejea nchini asubuhi ya leo kutoka Yaoundé, Cameroon, baada ya kutwaa kombe la Ubingwa wa Afrika kwa chipukizi kwa...
Waziri wa Michezo, Salim Mvurya, amesema kuwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) litaanzisha maeneo maalum ya mashabiki jijini Nairobi kwa ajili ya kutazama mechi za...
Timu ya taifa ya Nigeria, maarufu kama Super Eagles, imeaga mashindano ya CHAN baada ya kuchapwa mabao 4–0 na Sudan katika mechi ya pili ya Kundi...
Mshambulizi wa timu ya taifa ya Uswidi, Alexander Isak, ameieleza klabu ya Newcastle United kuwa hatacheza tena kwao katika taaluma yake ya soka. Isak ameeleza wazi...
Timu ya taifa ya Uganda, maarufu kama Uganda Cranes, imekwea kileleni mwa Kundi C baada ya ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Niger jana kwenye uwanja...
Kikosi cha voliboli cha wanawake chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20, maarufu kama Junior Strikers, kimetwaa ubingwa wa Mashindano ya Afrika kwa Chipukizi yaliyokamilika jana mjini...
Rais William Ruto ametangaza kuwa kila mchezaji wa timu ya taifa atapokea shilingi milioni 2.5 kama marupurupu endapo wataibuka na ushindi kwenye mechi ya mwisho dhidi...
Mabondia wawili nchini Japan wamefariki dunia baada ya kupata majeraha makubwa katika mapigano mawili tofauti yaliyofanyika jijini Tokyo wikendi hii. Bondia wa uzani wa Super Featherweight,...
Kilabu ya Crystal Palace ndio mabingwa wa taji la Ngao ya Jamii marufu kama FA Cup Community Shield mechi iliopigwa hapo jana ugani Wembley. Haya yanajiri...