Kilabu ya Liverpool imeafikia makubaliano na Bayern Leverkusen kuhusiana na usajili wa kiungo mbunifu Florian Wirtz uhamisho ambao ni rekodi mpya wa uhamisho Uingereza. Timu hizo...
Kilabu ya Tottenham HotSpurs ya Uingereza imemtambulisha Thomas Frank kuwa kocha mpya kumrithi Ange Postecoglou aliyepigwa kalamu mwezi jana licha kushinda kombe la Europa ligi na...
Ni rasmi kilabu ya Napoli imetangaza kupata sahihi ya kiungo wa zamani wa Manchester City Kevin De Bruyne raia wa Ubelgiji. Mchezaji huyo mwenye umri wa...
Riadha Mkenya Faith Cherotich kwa mara nyingine tena ameweza kumshindabingwa wa Olimpiki mbio za mitaa 3000 kuruka maji na viunzi Winfried Yavi raia wa Bahrain kwa...
Ni rasmi aliyekua kiungo wa Manchester cityna Bayern Munich ya Ujerumani Leroy Sane amekamilisha uhamisho wake katika kilabu ya Galatasaray ya Uturuki bila ada yoyote. Sane...
Kikosi cha soka akina dada humu nchini Harambee Starlets kimeondoka mapema leo kuelekea mjini Dar es Salaam Tanzania kwa mashindano ya CECAFA baina ya mataifa Afrika...
Katibu Mkuu ambaye pia ni msimamizi wa mchezo wa Handiboli ya Ufukweni (Beach Handball) ya Kitaifa Bi Carolyne Nyadiero amesema kwamba mandalizi yamekamilika kwa ajili ya...
Ni Rasmi kwamba kilabu ya Liverpool imetangaza kupata sahihi ya kiungo wa taifa la Ujerumani na kilabu ya Bayern Leverkusen Florian Wirtz kwa dau la Euro...
Timu ya taifa ya soka Harambee Stars imevuna ushindi wa kwanza chini ya kocha Benni McCarthy baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Chad...
Mkufunzi wa Harambee Starlets Beldine Odemba atarejea kunoa tena kikosi hicho kwenye kinyanganyiro cha Cecafa ukanda wa Afrika Mashariki nchini Tanzania. Haya yanajiri saa chache tu...