Jaji mkuu nchini Martha Koome ameelezea kutamaushwa na ufisadi ambao bado umekithiri katika idara mbalimbali za umma, akisema ufisadi humu nchini umekuwa tatizo la kitaifa ambalo...
Mahakama ya ardhi na mazingira katika kaunti ya Mombasa imeahirisha uamuzi wa kesi dhidi ya kampuni ya Mayport Limited inayohusishwa na mfanyabishara maarufu Mohamed Jaffar. Mlalamishi...
Idara ya mazingira katika kaunti ya Kilifi imeanzisha mchakato wa kuvifunga vilabu na maeneo ya burudani mjini Malindi ambayo yamekuwa na tabia ya kuchezesha mziki wa...
Wakaazi wa maeneo ya Mashamba na Msabaha wadi ya Ganda katika kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kaunti kupitia idara ya barabara kuifanyia ukarabati barabara ya...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, limesema zoezi la kuwahoji na kuwapiga msasa wakenya waliotuma maombi ya...
Baraza la vyombo vya habari nchini MCK limewataka Wanahabari kuzingatia maadili ya taaluma yao wakati wa kuripoti taarifa mbalimbali nchini ikiwemo maswala la uchumi wa bahari....
Seneta wa kaunti ya Kilifi Stewart Madzayo analenga kuwasilisha mswada bungeni kuhusu utata wa ardhi unaendelea kuzingira wakaazi wa eneo bunge la Kilifi Kusini. Madzayo amesema...
Ili kuhakikisha wakaazi wa kaunti za Pwani wanafahamu kinachojadiliwa na kupitishwa katika mabunge ya kaunti ni vyema iwapo mabunge hayo yatawekeza mbinu za kisasa za kiteknolojia...