Baadhi ya wakaazi kaunti ya Kilifi wamemtaka gavana wa kaunti hiyo Gedion Mung’aro kulifanyia marekebisho baraza lake la mawaziri kwa madai ya kufeli kutekeleza wajibu wake...
Mbunge wa Ganze Kenneth Kazungu Tungule amesema tatizo kubwa ambalo linakumba eneo bunge hilo ni umasikini. Akizungumza kwenye kipindi cha Coco Asubuhi, Tungule amesema eneo bunge...
Maelfu ya mashabiki kutoka afrika mashariki na kati wamiminika mjini Naivasha kaunti ya Nakuru kwa mbio za magari ya WRC Makala ya mwaka 2025. Kwa mujibu...
Mkufunzi wa timu ya soka harambee stars Benni McCarthy anaamini bado kuna nafasi ya timu hiyo kufuzu dimba la dunia licha ya sare ya goli 1-1...
Bingwa wa zamani wa masumbwi kwa uzito wa juu George Foreman, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini HELB imetoa shilingi bilioni 1.56, kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na...
TAHADHARI- Taifa la Marekani limetoa tahadhari ya usafiri kwa raia wake, likiwataka kutotembelea maeneo ya mpaka wa Kenya na Somalia kutokana uwezekano wa kutokea mashambulizi ya...
Wakaazi wa Mariwenyi gatuzi dogo la Mwatate kaunti ya Taita Taveta wamelalamikia uharibifu mimea yao unaosababishwa na wanyamapori katika eneo hilo. Kisa cha hivi karibuni ni...
Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani nchini Dkt Raymond Omollo amewarai wanasiasa na wafanyibiashara nchini kuisaidia serikali kufanikisha ajenda yake ya miradi ya maendeleo mashinani....
Wizara wa Elimu nchini Julius Migos amewaagiza wasimamizi wakuu wa shule za upili, msingi na baraza la mitihani nchini KNEC kuhakikisha wanaachilia stakabidhi za masomo za...