Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani nchini Dkt Raymond Omollo amewarai wanasiasa na wafanyibiashara nchini kuisaidia serikali kufanikisha ajenda yake ya miradi ya maendeleo mashinani....
Wizara wa Elimu nchini Julius Migos amewaagiza wasimamizi wakuu wa shule za upili, msingi na baraza la mitihani nchini KNEC kuhakikisha wanaachilia stakabidhi za masomo za...
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohammed Noor amewahakikishia waumini wa dini ya kiislamu na wakaazi wa kaunti ya Mombasa usalama wa kutosha wakati huu wa mfungo...
Naibu katibu wa Chama cha Walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET kaunti ya Kilifi Opollo Zacharia Kopolo ametoa wito kwa serikali...
Wizara ya Afya kaunti ya Tanariver, Joshua Jarha, imesema serikai ya kaunti hiyo imewalipa wahudumu wa afya ya nyanjani malimbikizi ya marupurupu yao ambayo wamekuwa wakidai....
Mahakama kuu mjini Malindi kaunti ya Kilifi imeahirisha kwa mara ya mwisho uamuzi wa kesi ya madai ya ulaghai wa fedha unaodaiwa kutekelezwa na Kenneth Njoroge...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC limetangaza kuanza zoezi la kuwapigwa msasa watu 11 ambao walituma maombi ya...
MAHAKAMANI – Gavana wa Meru Kawira Mwangaza amepata pigo baada ya Mahakama kuu kuidhinisha uamuzi wa bunge la Seneti la kumtimua Mamlakani. Uamuzi huo imejiri baada...
Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Raymond Omollo amesema baadhi ya miili waliofukuliwa katika makaburi ya halaiki kwenye msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi...
Mwanasiasa Oscar Nzai amepongeza ushirikiano wa utendakazi kati ya Rais William Ruto na Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga, akisema ushirikiano huo utazikabili changamoto zinazowakumba...