Kumeshuhudiwa vuta ni kuvute katika Ofisi za Katibu wa kaunti ya Kilifi baada ya aliyekuwa Katibu wa kaunti Martin Mwaro kupata agizo la Mahakama la kurejea...
Daktari mkuu anayesimamia kitengo cha masuala yanayohusu kifua katika hospitali kuu ya Malindi kaunti ya Kilifi Anderson Ngala amewahimiza wakaazi kufika hospitalini iwapo watahisi maumivu kifuani....
Maafisa wa uokozi wanaendelea na juhudi za kusaka miili ya vijana watatu ambao ni wanafunzi kutoka eneo la Hongwe Mpeketoni waliozama baharini siku ya Jumapili jioni...
Serikali imeanzisha mpango wa kubuni sera itakayotambua na kuthamini wadhfa wa wazee wa mitaa na wale wa nyumba kumi ili kuimarisha usalama hadi mashinani. Katika makadirio...
Waumini wa madhehebu mbalimbali ya kikristu wamemiminika makanisani kuadhimisha Jumapili ya matawi, juma moja kabla ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka. Waumini wa madhehebu ya Anglikana,...