Sports

Kombe La Dunia Kwa Vilabu Kuingia Robo Fainali

Published

on

Mashindano ya kombe la dunia baina ya vilabu kuingia katika hatua ya robo fainali hii leo nchini Marekani.

Al-Hilal iliobanduwa Manchester city chini ya Kocha Simeoni Inzaghi kushuka dimbani usiku wa leo ugani Camping Stadium kule Orlando saa nne usiku.

Kesho Asubuhi saa kumi ni zamu ya Chelsea dhidi ya Palmeiras ya Brazil ,Mabingwa Ligi ya Mabingwa UEFA PSG watakua uwanjani Saa moja usiku kuvaana na Bayern Munich ya Ujerumani.

Kisha saa stano usiku ni zamu ya miamba wa Uhispania Real Madrid kumenyana na wakilishi wengine wa Ujerumani Borrusia Dortmund.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version