Connect with us

Sports

Kombe La Dunia Kwa Vilabu Kuingia Robo Fainali

Published

on

Mashindano ya kombe la dunia baina ya vilabu kuingia katika hatua ya robo fainali hii leo nchini Marekani.

Al-Hilal iliobanduwa Manchester city chini ya Kocha Simeoni Inzaghi kushuka dimbani usiku wa leo ugani Camping Stadium kule Orlando saa nne usiku.

Kesho Asubuhi saa kumi ni zamu ya Chelsea dhidi ya Palmeiras ya Brazil ,Mabingwa Ligi ya Mabingwa UEFA PSG watakua uwanjani Saa moja usiku kuvaana na Bayern Munich ya Ujerumani.

Kisha saa stano usiku ni zamu ya miamba wa Uhispania Real Madrid kumenyana na wakilishi wengine wa Ujerumani Borrusia Dortmund.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Harambee Stars Kundi La Kifo Kundi B.   

Published

on

By

Huku zikiwa zimesalia siku 15 pekee kung’oa nanga kwa kipute cha CHAN mwezi ujao,
Kenya imeratibiwa kupambana na DRC, Morocco, na Angola katika Kundi A linalotajwa kuwa ndio kundi gumu zaidi yaani Kundi la Kifo.
KUNDI B
Ni Taifa jirani la Tanzania, Burkina Faso, Madagascar na Jamhuri ya Africa ya Kati.
KUNDI C
Uganda itachuana na Algeria,Africa Kusini,Guinea na Nigeria.
KUNDI D:
Congo itakabana koo na Nigeria,Senegal na Sudan Kusini.
 Mechi hizi zitasakatwa katika nyuga za katika Kenya, Uganda na Tanzania,
Continue Reading

Sports

Kiungo Wa Brenford Bryan Mbeumo Sasa Ni Mali Ya United

Published

on

By

Baada ya vute ni kuvute ambayo imedumu kwa kipindi cha mwezi mmoja ni rasmi kwamba kilabu ya manchester United na Brenford wameafikia makubaliano ya pauni milioni 70 ya kiungo mshambulizi Bryan Mbeumo raia wa Cameroon.

Haya yanajiri baada ya ofa mara mbili ya united kukataliwa na kilabu hio kabila ya kutuma ofa ya mwisho ya pauni milioni 65 na nyongesa ya pauni milioni 5.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 yuko tayari kumwaga wino mkataba wa miaka mitano baada kukubali matakwa yake binafsi.

Mbeumo anakua sajili wa pili kwa kocha mkuu Ruben Amorim baada ya ujio wa mshmabulizi Matheus Cunha.

Continue Reading

Trending